HAKUNA FARU MWEUSI RUFIJI.
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa ufafanuzi
kuhusu taarifa iliyotolewa na mtandao wa
Tanzania Times tarehe 3 Machi, 2022
ikieleza kuonekana kwa faru mweusi katika
Hifadhi ya Taifa Nyerere "Taarifa hiyo
ambayo inaendelea kusambaa katika vyombo
mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii
sio sahihi na tunaomba ipuuzwe"
"Ukweli ni kwamba hakuna Faru mweusi
aliyeonekana katika hifadhi ya Taifa ya
Nyerere kama ilivyoripotiwa na mtandao huo"
"Wizara inasisitiza kuwa Msemaji Mkuu wa
masuala ya wanyampori hapa nchni ikiwemo
utoaji wa takwimu na taarifa za wanyamapori
kwa umma ni Wizara ya Maliasili na Utalii na sivinginevyo"
KARIBU NYERERE NATIONAL PARK RUFIJI.
https://www.google.com/search?q=nyerere+national+park+Rufiji&client






Comments
Post a Comment