Posts

Showing posts from March 6, 2022

Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Freeman Mbowe amekutana na rais Samia Suluhu Hassan Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kuachiwa huru kufuatia yeye na wenzake watatu kufutiwa mashtaka ya uhujumu uchumi na ugaidi siku ya Ijumaa jijini Dar es salaam.