Skip to main content

Posts

Featured Post

Dc Sawala apewa U RC Mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART). Miongoni mwa watu hao ni Patrick Sawala aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya Rufiji na Tandahimba ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Mtwara na Daniel Chongolo aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe na Waziri Kindamba aliyeteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa UDART. Kwa Mkeka kamilia fungua kiungo hapa chini Mabadiliko Madogo Serikalini

Latest Posts

Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260.

Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa unaoifanya iwe chini ya Usimamizi wa Rais watua Bungeni.

KIUNGO MAOMBI YA AJIRA SERIKALINI KADA YA ELIMU NA AFYA APRILI 2023.

RAIS DR. SAMIA NA UMUHIMU WA MARIDHIANO NA DEMOKRASIA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA NCHI YETU.

Rais Samia afungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki.

6 places on Earth where the sun never sets.

IFAHAMU JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)